Jiunge kupata chapisho jipya kwa barua pepe!

jua'hatutumi spam!.

Jumapili, 12 Mei 2013

TEKNOLOGIA YA EDGE (ENHANCED DATA RATES FOR GSM)


     Hii ni teknolgia ambayo imebuniwa kuuongezea uwezo  mfumo wa teknologia ya mawasiliano ya simu ya GSM (Global Mobile System)! Twaweza kuiita teknologia hii ya EDGE kama muendelezo wa teknologia ya GSM iliyoboreshwa kuwezesha usafirishaji wa data kwa kasi kubwa. Teknologia hii huwezesha kasi hadi ya 384Kbps ukilinganisha na uwezo wa GSM ambao hutumia kasi ndogo chini ya 60Kbps, ni sahihi kusema EDGE ni mtangulizi wa teknologia ya 3G. Teknologia hii ilibuniwa mahsusi kwa ajili ya matumizi ya Maltimedia kama usafirishaji wa video na sauti (Video and audio streaming) kwenye simu za mikononi! Hii teknologia ilizinduliwa kwa mara ya kwanza nchini marekani (US) mwaka 2003 na kampuni ya Cingur, ambayo kwa sasa ni AT&T. Pia imesanifiwa na 3GPP (3rd GENERATION PARTNERSHIP PROJECT) kama sehemu ya familia ya GSM.  angalia zaidi kuhusu 3GPP



picha zime toka: readgsm.blogspot.com, http://www.mechanicalengineeringblog.com/









Socializer Widget By Blogger Yard
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →

0 comments:

Chapisha Maoni